Chukua Cudy 4G LTE router na upate wifi ya kutosha katika eneo lako
Kama una Cctv camera hii ndo router bomba ya kukuwezeaha kuangalia camera zako kwenye simu popote ulipo duniani.
Ukiwa katika safari pia unaendelea Kupata wifi.
Ina app maalumu hivo unaweza kui-manage online (hii ni supa sana )
Kubwa zaidi unaweza kuunganishia watu hadi 32 Kwa wakati mmoja
Na haibagui line ya mtandao wa simu (Vodacom, Tigo , Airtel, Halotel nk)
Ipo Kwa Tsh 150,000 tu
Bonyeza namba hii nikuletee mpaka ulipo076XXXXXXX