BAJAJ YA UMEME. NAITOA KWA NUSU BEI
Bei ya bajaji ya umeme ni TSh mil. 7.5. Imetumika mwaka mmoja.
Inapatikana Dar es Salaam.
Kukagua bajaji fika Stakishari Football Ground. Km 1.5 kutoka Nyerere Road (Majumba Sita Flyover baada ya Airport). Ukitumia usafiri wa online, tag 'Bakanja Social Hall'.