*aquos sense zero 6* from dubai
•hizi simu zinatunza sana chaji
•pili ni waterproof
•alafu pia zina camera yenye zoom kali
•internet 5g rom 128 ram 8
•single line (DUAL IN E SIM CARD)
tupo mtaa wa agray na ndanda nyuma ya jengo la china plaza kariakoo dar es salaam delivery tunafanya ndani na nje ya dar es salaam kwa makubaliano maalumu.