Tupo kariakoo mtaa wa agrey na msimbazi karibu na mataa ya uhuru
Open now
• Mon - Sat, 08:00-20:00
Ukiachana na udogo wa brand ila sharp ni kampuni kubwa sana na kwa vifaa vyake vipo imara mno hii simu ni babu kubwaaa kwanza inakaa na chaji kwa muda mrefu alafu inapandisha 5g
tunapatikana kariakoo mtaa wa agrey na msimbazi dsm