Ni simu yenye uwezo mkubwa sana Kenye upande wakamera inatowa picha very quality
Inauwezo wakukaa na chaji masaa 42
Ipo imara sana na kioo chake nikigumu
Na ina storeng kubwa ambayo siyo rahisi vitu kujaa kwenye simu
Nanisimu yenyekupendwa na watu wengi