3.5mm jack, Bluetooth 5.0, A2DP, LE, USB Type-C 2.0, OTG
Features
No
Exchange Possible
Store address
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo Mtaa wa Agrey na msimbazi.
Tupo karibu na njia panda ya mataa ya uhuru meter chache kutoka kituo cha mwendo kasi Cha msimbazi.
Open now
• Mon - Sun, 08:30-18:00
Hii ni Samsung Galaxy A04e yenye 64GB AM4 inayopatikana kwa bei ya Tshs.260,000/= tu
'
Simu hii inamuonekano mzuri na uwezo mkubwa wakutunza chaji ikiwa na betri lenye ukubwa wa 5000mAh.
'
Simu hii ina warranty ya miezi 24 yaan miaka 2 isipokuwa kioo "kioo hakina warranty"
'
Tupigie kufika madukani kwetu au kama utahitaji delivery