Grain Moisture meter
Hiki ni Kifaa Cha kisasa kwa ajili ya kupimia unyevu wa mazao ya nafaka mbalimbali.
Ni muhimu kupima na kujua condition ya mazao kabla ya kuyanunua na kuyahifadhi kwenye maghala kuepuka hasara inayotokana na kuvunda kwa mazao na kuharibika.
Kifaa hichi kinapima mazao takribani 13 kama ifuatavyo;
0.Mpunga
1. Ngano
2. Mahindi
3. Shairi
4. Mchele
5. Mtama
6. Chakula cha mifugo
7.canola
8. Mbegu za tikiti
9.ufuta
10. Soya
11.mbegu za maboga
12.karanga
13.mbegu mbalimbali
Kifaa hiki utakipata kwetu kwa bei ya offer
Kumbuka biashara ya mazao ni risk kama hutozingatia unyevu/kukauka kwa mazao.
Tunapatikana mtaa wa NYAMWEZI na MKUNGUNI kariakoo