*#inauzwa mashine mpya ya kushonea magunia / packer machine
inafaa kwa:
maduka ya mchele, mahindi, maharage, sukari
viambatanishi, viwanda, maghala
biashara ya kufunga magunia
**faida zake:**
1. **portable na high speed** - inashona gunia 1 kwa sekunde chache tu
2. **inatumia umeme** - nguvu na kasi zaidi kuliko ile ya mkono
3. **inakuja na sanduku lake** - mpya kabisa, haijatumika
4. **inapunguza gharama** - acha kutumia sindano na uzi, fanya kazi kwa haraka
**condition:** mpya kabisa, bado kwenye box yake
**location:** dar es salaam
* wahi piga / whatsapp kwa bei poa
tunafanya
duka mkononi store - tunakuletea ubora kwa bei nafuu
piga sasa usikose!