Duka lipo kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni st,
Kama unahitaji bidhaa au unahitaji kufika dukani kwetu call
Closed
• Mon - Sun, 07:15-12:00
Acha kutegemea kusaga kulee mbali!
Kuwa na mashine yako mwenyewe ndani ya fremu au nyumbani kwako. Inasaga:
Viungo (Pilipili manga, mdalasini, nk)
Nafaka (Mahindi, ngano, ulezi)
Lishe ya watoto
Chombo kipo imara, kazi ni kwako!
Wasiliana nasi sasa.