Duka lipo kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni st,
Kama unahitaji bidhaa au unahitaji kufika dukani kwetu call
Closed
• Mon - Sun, 07:15-12:00
Call
Jiko la Umeme la Kuyeyushia Madini – 3KG
Limewasili! Jiko la umeme la kuyeyusha madini hadi kilo 2 – linayeyusha dhahabu, fedha, shaba n.k kwa haraka na usalama mkubwa!
Uwezo: 3KG
Joto kali hadi 1100°C – linafua kwa muda mfupi
Linalotumia umeme wa kawaida (220V)
Rahisi kutumia – linafunika vizuri na lina sensor ya usalama
Perfect kwa wachimbaji, wafua madini, na mafundi wa maabara
Location: Dar es Salaam – Tunatuma popote Tanzania
`
Karibuni kwa Vifaa vya kisasa kwa wachimbaji wa kisasa!