Full Automatic Incubator za mayai 30 zinapatikana
ncubator hizi ni special kwa wale wanaohitaji mashine ndogo ya kisasa inayotumia umeme wa Tanesco au genereta na wa solar au betry inayototolesha mayai ya kuku wa kienyeji, chotara au wa nyama, bata aina zote, kanga na kware.
Kwa asilimia 98 zinajiendesha zenyewe ambapo kila baada ya masaa mawili zinageuza mayai zenyewe na ukiwasha tu zinaset na kubalance joto na unyevu zenyewe hivyo ni rahisi kutumiwa hata na wale ambao hawana uzoefu nazo kabisa.
Pia tuna mashine za kutotolesha vifaranga za mayai 36, 70, 128, 264, 352, 528, 880, 1056 na kuendelea. Hizo zote ni full automatic.
Tunapatikana Ubungo/ Mawasiliano Dar es salaam