Duka lipo kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni st,
Kama unahitaji bidhaa au unahitaji kufika dukani kwetu call
Closed
• Mon - Sun, 07:15-12:00
Call
Funga Mizigo Kwa Kasi Bila Kuchoka!
Unashona kwa mikono bado?
Jipatie Mashine ya Kushonea Viroba/Magunia – Imara, Haraka, na Rahisi kutumia!
Inafaa kwa wakulima, wauzaji wa nafaka, viwanda n.k
Inatumia umeme au betri (kutegemea aina)
Haitaki fundi – unajifunza kutumia kwa dakika chache tu!
Bei Nafuu Kabisa – Tunatuma popote ulipo!
Location::nyamwezi na mkunguni
`
Karibuni Tunawaletea vifaa bora vya
biashara yako!
#MashineYaKushonea #Gunia #Viroba #maghalayachakula
#Follow Follow Follow page