Hii BULB ya Umeme
12w
yaani ukipita karibu Itawaka, ukiondoka eneo hilo itazima!
Inafaa SANA kuiweka Chooni/Bafuni
Wote tunakubaliana Namna Taa za chooni zinavyo ACHWA bila kuzimwa!
Sasa hii ndio SULUHU,
Yaan mtu akitoka Toilet nayo ITAZIMA!
Faida zaidi kwako:-
-Inasave FEDHA zako
-Ina Save Unit 12-15 kwa Mwezi
Inafaa zaid:
-Chooni/bafuni
-Corridor
Hasara:
-Usipokuwa nayo LUKU ndio itakuwa inakuumiza
-Ni kwamba utaendelea kulalamika Taa zizimwe hayo maeneo hadi uwe kero!
3yrs lifespan