Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
hii ni rice cooker ya aborder, lita mbili, ina uwezo wa kupika wali kilo moja na nusu, inapika haraka kwa umeme kidogo sana, haitoi ukoko na inaubora wa hali ya juu
ukinunua hili mkataba nakupa warranty mwaka
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi, na nyinginezo nyingi. tunazo
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt