KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Open
• Mon - Sun, 08:00-22:00
Tunauza bidaa mpya tu hatuna used, majibu ya haraka piga simu sio meseji
.
hii ni roch reeza lita 420 ina milango miwili imara sana na inagandisha haraka warranty mikaa 3 ukinunua hii mkataba utanishukuru baadaye
.
delivery tunafanya lipa ukishapokea mzigo wako na kuukagua
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwani sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia kwa bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote mfano tv nchi 17-98, sabufa, sound bar, friji, majiko aina zote pia brand zote zipo kama hisense, samsung, lg, tcl, aborder, alitop na nyinginezo ushindwe ww tu
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt tupigie