Tunauza bidaa mpya tu hatuna used, majibu ya haraka piga simu sio meseji
.
hii ni pressure cooker ya kenwood, ni imara sana na ina ubora wa hali ya juu sana, ina pika vyakula vyote vigumu na laini kwa umeme kidogo sana usimalize gesi na mkaa wako kwa kupika maharage na nyama
.
delivery tunafanya lipa ukishapokea mzigo wako na kuukagua
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwani sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia kwa bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote mfano tv nchi 17-98, sabufa, sound bar, friji, majiko aina zote pia brand zote zipo kama hisense, samsung
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt tupigie