Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
hii ni friji ndogo ya mr uk yenye ujazo wa lita 100, freeza yake in jitegemea na inagandisha haraka, imara sana na ubora wa hali ya juu, ukinunua hili mkataba nakupa warranty miaka 3
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi, na nyinginezo nyingi. tunazo brand zote kama hisense
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt