KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Open
• Mon - Sun, 08:00-22:00
Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
hili ni friji la brand kubwa alitop ni kubwa sana lina lita 238 na lina freeza kwa juu inayogandisha haraka, lina ubora wa hali ya juu na warranty ya uhakika miaka 3, ukinunua hili mkataba utanishukuru baadaye
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi, na nyinginezo nyingi
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt