Ni kifaa kizuri Cha jikoni chenye uwezo wa kupika vyakula mbalimbali kwa kutumia program za kisasa ambapo Ina pika nyama,wali,supu,maharage,unapika kwa mvuke,mayai,kande, kukaanga,slow cook,high cook.ni rahisi kutumika Ina kitufe au panel inayoonyesha aina ya kupika pia Ina timer, na auto shoutoff ambayo inatumika muda wa chakula kitaiva muda gani,Ina pika haraka na pole pole.ikiwa utahitaji multi cooker na maelezo zaid naomba uwasiliane na mm078XXXXXXX