tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Home, Furniture & Appliances
  3. Kitchen Appliances
  4. Cookers & Ovens
Promoted
Dar es Salaam, Ilala, 1 hour ago
4 views

Mr UK Friji Lita 65 Mlango Mmoja

+1
2
Refrigerators
Type
White
Color
Brand New
Condition
MR UK
Brand
Electric
Power Source
Compact
Refrigerator Type
1
Number of Doors
2
Number of Shelves
Stainless Steel
Material
A+++
Energy Class
220V
Voltage
100watts
Power
Delivery
Dar es Salaam
1 day
TSh 2,000 - 7,000
Store address
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Closed
• Mon - Sun, 08:00-22:00
Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu . hili ni friji dogo la mr uk, lina lita 65 na umbo dogo ambalo unaweza weka hata ofisini au jikoni kama huna mambo mengi hichi kinakufaa sana, ninimara sana na warranty miaka 2 kina freeza inayogandisha kwa ndani . delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama . usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics . sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti . zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi, na nyinginezo zote . tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt
TSh 259,000
Negotiable
2 Feedbackview all
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • Inspect the item and ensure it's exactly what you want
  • Make sure that the packed item is the one you've inspected
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif