Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
hii ni oven ya kenwood, ina ujazo mkubwa wa lita 40, inachoma nyama au kuoka vyakula kama mikate, unaseti muda na inajizima yenyewe, ina ubora wa hali ya juu na warranty ya uhakika nakupa mwaka, ukinunua hii mkataba
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi, na nyinginezo
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt