Ili ujibiwe haraka usitume msg nipigie simu
.
hili ni friji dogo kabisa la hisense lina mlango mmoja na freeza yake ndogo kwa ndani
ni imara na lina warranty miaka 2
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa mzigo wako uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti,
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko ya umeme na gesi aina zote, na nyinginezo nyingi. tunazo brand zote kama hisense, samsung, lg, tcl, aborder, alitop
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt