Ili nikupe majibu ya Haraka nipigie usitume msg
.
Hii ni bruhm friji ya lita 128, nikubwa sana na inafaa hata kwa familia kubwa,
.
ina ubora wa haliya juu na uimara mkubwa na tunakupa warranty ya miaka 2
.
kwa sasa ipo katika ofa na mzigo umebaki mchache hivyo wahi ofa kabla haijaisha
.
.
usipigwe tena kwenye manunuzi ya bidhaa za electronics sisi hatuuzi kwa tamaa kabisa, yaani bei zetu ni kitonga hatuna tamaa kama wengine
tu follow insta = future_vision_electronics_tz
hatuuzi bidhaa used tunauza bidhaa mpya tu kwa bei sawa na used bei ya stoo bei kitonga ambayo huwezi pata popote hata uzunguke tanzania nzima
tunapatikana kkoo mtaa wa agrey na likoma karibu na kanisa la kkkt ukifika kwenye geti la kanisa kkkt piga simu au wassap