*Inajizima yenyewe (auto shut off)
*Rahisi kutumia na kusafisha
*Inakikaango kisicho unguza(non sticking layer)
*Inatumia mfumo wa kidigitali(one touch cooking)
*Uwezo wa kuseti joto na muda wa kupikia
*Inauwezo wa kupika,kukaanga,kuchoma,kupasha,na kuoka kwa kutumia mafuta kidogo au bila mafuta