Auto Shut-Off, Freezer Interior Light, Humidity-Controlled Crisper
Refrigerator Features
100watts
Power
Delivery
Dar es Salaam
1 day
TSh 2,000 - 7,000
Store address
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Closed
• Mon - Sun, 08:00-22:00
Kupata majibu ya haraka nipigie
.
usishangae unafuu wa bei za bidhaa zetu kwani sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine, bidhaa zetu zote ni og na zina warranty kuanzia mwaka.
.
hii ni alitop friji ndogo ya lita 95 ina freeza kwa juu inayogandisha haraka, friji hii inaubora wa hali ya juu na tunakupa warranty ya miaka 2
.
usipigwe tena kwenye manunuzi ya bidhaa za electronics sisi hatuuzi kwa tamaa kabisa, yaani bei zetu ni kitonga hatuna tamaa kama wengine tunazo bidhaa zote brand zote tv zote hisense, samsung, lg na mafriji aina zote, bei zetu huwezipata popote pale
tu follow insta = future_vision_electronics_tz
hatuuzi bidhaa used tunauza bidhaa mpya tu kwa bei sawa na used
.
tunapatikana kkoo mtaa wa agrey na likoma karibu na kanisa la kkkt ukifika kwenye geti la kanisa kkkt piga
.