*Inauwezo wa kujizima(auto shut off)
*Unaweza kukaanga,kuoka,kupasha,kuchoma na kupika vyakula mbalimbali kutumia mafuta kidogo au bila mafuta kabisa
*Ina kikaango kisicho unguza(non stick layer)
*Unaweza kuseti joto na muda wa kupikia
*Ina mfumo wa kidigitali