Simu za mezani
Zinatumia laini mtandao wowote
Unaweza kupiga na kupokea simu kutoka mtandao wowote
Unatuma na kupokea sms mitandao yote
Ina Battery yenye uwezo mkubwa wa kuhifadhi chaji kuanzia siku tatu na zaidi
Ni imara na ni rahisi kutumia
Inatumika ofisini, nyumbani, kanisani na shuleni
Ina antenna inayoiwezesha kupokea mawimbi, hivyo kuifanya kuwa na uwezo wa kushika Internet maeneo yoyote
Kwa wakazi wa Dar es Salaam utalipia baada ya kupokea mzigo, mikoani pia tunatuma kwa uaminifu mkubwa
Tupo Dar es Salaam Kariakoo, Msimbazi and Masasi Streets
Call