Joto kaliii Kwishaa Umeme Ukikata usiwazeeee chukua hii Unachaji kwa umeme wa kawaida Umeme ukikata, yenyewe Inaendelea kufanya kazi kwa sababu ni za kuchaji. Inakaa na chaji masaa 12 ukiwa unatumia high speed( namba 3) kitumia kwenye speed ya kawaida (namba 2), unaweza kutumia siku moja. Ina uwezo wa kuchaji simu tena kwa uharaka kwa sabab ina 5V. Ina LED LIGHT, Size 18 Zinatumia REMOTE CONTROL. Sio lazima usimame ndo uwashe, we kaa zako kwenye sofa tumia remote. Pia kwa wale wanaotumia umeme wa SOLAR hii inafaa, kwa sababu inamudu umeme wa SOLAR na TANESCO.