Call us, or Visit our store ata Kariakoo Agrey na Likoma Street
Closed
• Mon - Sat, 09:00-19:30
Karibu nikuuzie simu za mezani waweza nunulia watoto nyumbani, wale wenye wadada wa kazi hii ndio kiboko yale mambo ya kuchati mda wote anakua na uoga, Matumizi yake ni kma simu ndogo, tu, unatumia laini mitandao yote bei 75,000 Tu, mkoani tunatuma Kwa uaminifu