Hii ni Indoor Heater / Room Heater ya ndani kwa ajili ya kukupa Joto wakati wa Baridi au kama unakaa sehem za baridi kama Moshi, Arusha, Iringa, Mbeya au kokote kule kwenye baridi, bidhaa hii itakufaa sana unaweza kubadili Joto UlitakaLo kwa kuweka Nyuzi joto inayokufaa kuna 18C , 21C , 24C hadi 27C .
Agiza nasi tutakuletea / kukutumia kwa uaminifu mkubwa kokote kule uliko ndani ya Nchi au nje ya Nchi.
Kwa Jumla kuanzia 50PCs tutakuuzia Kwa Tzs 100,000/= kwa kila
ZINGATIA
Delivery Ipo kwa Gharama ya Mteja we tupe Location mzigo utakufikia,
Kwa wateja wote wa Dar-Es-Salaam utalipia wakati unapo pokea mzigo wako,
Wateja wa Mikoani utalipia kwanza mzigo ukifikishwa ofisi ya Bus unalopendekeza.
Location yetu / ofisi yetu inapatikana Kariakoo makutano ya Livingstone Street
na Udoe Street. Karibuni sana...