Fursa Ya Biashara Kwa Wanawake Wote Waliopo Dar Es Salaam Tu
Fursa Ya Biashara Kwa Wanawake Wote Waliopo Dar Es Salaam Tu
+1
Dar es Salaam, Ilala
117 views
Company Name
The Aloe Vera Company
Job Type
Part-Time
Application Deadline
October 16, 2023
Responsibilities
Marketing
kuongeza mauzo
matangazo ya mitandao ya kijamii
ujasiriamali
maingizo ya biashara
Requirements & Skills
Ubunifu wa kutangaza kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, instagram n.k
Vifaa vya kisasa kama smartphone au laptop
Minimum Qualification Requirements
Kwanzia 350,000/= adi mtaji wote wa 1,400,000/=
Minimum Experience
less than 1 year
Store address
Dar es Salaam • Ilala
Buguruni
Closed now
• Mon - Sat, 07:00-18:00
FURSA HII YA kibiashara itakupa uwezo wa kutimiza malengo yako. Kwa vijana wahitimu wa chuo ambao hawana ajira hii FURSA ni bora kwako kupambania NDOTO zako Waajiriwa wengi mshahara hautoshi kutimiza malengo Lakini kuwa na biashara Kama hii itakupa uwezo wa kuongeza kipato chako na kutimiza mipango yako kwenye maisha. Hii ni FURSA ya KIBIASHARA sio ajira, hapa unajiajiri, wewe pekee ndiye utakuwa mmiliki wa biashara yako Yaani CEO wa biashara yako. Biashara hii itakupa uwezo wa kujifunza ujuzi mbalimbali, kutembelea nchi mbalimbali na kufurahia mapumziko ya pamoja Kama TEAM, team yenye mafanikio hujipa muda wa kurelax na ndiyo biashara yetu. Tutafute tukupe namna ya kutimiza NDOTO zako na kufanikiwa kimaisha .