Kati ya sofa set nzuri na Classic hutakiwi kuikosa ni hii pia maboss zangu inapendezesha sana ndani kwako ni sofa set ya watu saba yaani 3:2:2 ikiwa na na ya kulala
Hii sofa ina sifa zifutazo
Ina sehemu ya kuchajia simu, na devices zingine
Ina sehemu ya kuwekea vinywaji ukiwa umerelax
Ina sehemu ya kuhifadhi vitu vyako vidogo n.k
Ina sehemu ya kuwekea mapambo kama maua,vitabu
Ina full fiber, spring,seat belt,
Kitambaa chake ni pure velvet hakishiki uchafu kwa uharaka.
Bila kusahau hii sofa unapata na dawa yake ya kusafishia hauhitaju kusafisha na maji inakuwa na dawa yake special
Bei yake ni nafuu sana Tsh 2,300,000 unatengenezewa hii sofa kwa ubora wa hali ya juu sana
Oda ni siku 5-7 tu malipo kamili ni baada ya kupokea bidhaa yako
Mawasiliano ni
Au whatsapp