★amcolon (n:p:k) 24:24:18+ 1.5mg0+te
ni mbolea ya majani iliyo na virutubisho muhimu kwa ukuaji wa mimea.
virutubisho hivi muhimu ni pamoja na:
●nitrogen (24%n): husaidia katika ustawishaji wa mimea
●phosphorous (24%p): husaidia kuongeza miziz mipya na iliyo imara
●potassium (18%k): husaidia kuongeza maua na kuboresha matunda
amcolon :- pia ina virutubisho vingine muhimu kama vile boron, manganese, iron, copper, zinc, na molybdenum ambavyo ni muhimu kwa ukuaji na uzalishaji wa mimea.
n;b
amcolon inaweza kutumika katika hatua zote za ukuaji wa mmea.
karibuni sana