Full Automatic Incubator za mayai 30 zinapatikana
Incubator hizi zinatumia umeme wa Tanesco au genereta na wa solar au betry inayototolesha mayai ya kuku wa kienyeji, chotara au wa nyama, bata aina zote, kanga na kware.
Kwa asilimia 98 zinajiendesha zenyewe ambapo kila baada ya masaa mawili zinageuza mayai zenyewe na ukiwasha tu zinaset na kubalance joto na unyevu zenyewe hivyo ni rahisi kutumiwa hata na wale ambao hawana uzoefu nazo kabisa.
Pia tuna mashine za kutotolesha vifaranga za mayai 36, 70, 128, 264, 352, 528, 880, 1056 na kuendelea. Hizo zote ni full automatic.
Tunapatikana Mawasiliano Dar es salaam
Kama una ndugu au jamaa hapa Dar es Salaam unaweza kumtuma aje Dukani Au unaweza kutuunganisha na mtu wa kampuninya Usafirishaji
Uaminifu wetu kwa mteja ni zaidi ya 100%.