Karibu ujipatie mbegu bora za nyanya aina ya assila f1, ansal f1, dhahabu f1,imara f1 kwa bei nafuu kabisa, nyanya zetu zina sifaa zifuatazo ambazo ni;-
1. inavumilia ukame
2. zinazaa sana
3. hazishambuliwi na magonjwa ya mara kwa mara
nyanya zetu zipo kweny ujazo tofauti tofauti ila ujazo mkubwa ambao unaweza ukatosha ekari moja ni mbegu
10,000
karibuni wateja uweze kujipatia mbegu imara za nyanya
bei zetu za mbegu za nyanya pamoja za aina yake
1. assila f1 mbegu 10,000 , 600,000/= tshs
2. ansal f1 mbegu 10,000 ,
650,000/= tshs
3. dhahabu f1 gr 25, 250,000/=tshs
4. imara f1 gr 25, 250,000/=tshs