10 Civil Technician and 110 Workers in Construction Industry
Dar es Salaam, Ilala
52 views
10 Civil Technician and 110 Workers in Construction Industry
+1
1
Company Name
JB COMPANY
Job Type
Contract
Work Setup
Office
Application Deadline
26/04/2024
Responsibilities
civil engineers 10 watawasimamia mafundi 110 katika kazi ya ujenzi wa eneo la bandari pamoja na majengo yaliyo karibu na bandari ndani ya muda ambao mkataba utaonyesha,pia kazi itakuwa ni je ya tanzania kwa hiyo mwenye passport ya kusafiria atakuwa mwenye nafasi kubwa ya kuchaguliwa ila hata asiekuwa nayo anaweza kuchaguliwa pia huku akiendelea na taratibu za kufuatilia passport
Requirements & Skills
civil engineering/ uhandisi wa majengo na madaraja
construction/mafundi ujenzi
Minimum Qualification Requirements
kwa wahandisi awe na shahada ya uhandisi au stashahada ya uhandisi na awe na experience isiyopungua
miaka 5
Na kwa mafundi awe na elimu isiyopungua darasa la saba na kuendelea na awe amefanya kazi kwa muda usio pungua miaka 5
umri wa kila atakaeomba nafasi hii ni kuanzia miaka 18 mpaka 40
Minimum Experience
5 years
Store address
Dar es Salaam • Kinondoni
Mabula Road
Bwawani market
Open now
• Mon - Sat, 08:00-18:00
Dar es Salaam • Kinondoni
Mabibo
NIT University
Open now
• Mon - Sat, 08:00-18:00
Kwa wahandisi mshahara utaanzia 500,000 na mafundi utaanzia 400,000 kwa mwezi
gharama ya ticket ya ndege ,visa accomodation pamoja na chakula vitakuwa juu yangu