*#Drain Clog remover/Zibua chemical*
Ni dawa yenye nguvu iliyoundwa kuyeyusha uchafu unaoziba mabomba ya jikoni, bafuni, au chooni.
Kazi yake kuu:
• Kuyeyusha mafuta (grease), nywele, mabaki ya chakula, na karatasi za chooni.
• Kuondoa harufu mbaya kwenye mabomba.
• Kuua wadudu na vimelea vinavyoishi kwenye mitaro ya maji machafu.
*Namna ya kuitumia (Hatua kwa hatua)*:
• Punguza maji yaliyotuama kwenye tundu la bomba.
• Mimina vijiko 2-3 vya unga (au robo chupa) kwenye tundu.
• Ongeza maji kidogo ya uvuguvugu ili kuanzisha mapovu.
• Acha dawa ifanye kazi kwa dakika 30 mpaka 60 (au usiku kucha).
• Safisha bomba kwa kumimina maji mengi.