Unaweza kujipatia huduma hii ya Mabomba ya mapazia na hata kufanyiwa installation kabisa kwa gharama nafuu.
Bomba hizi zipo Aina mbili, Double na Single na zipo katika rangi tatu (Silver,Gold na Black)
Na zipo kwenye sizes mbili (mita tatu na mita mbili)
Bei zake zipo kama ifuatavyo;-
:SINGLE
-Tsh.22,000 kwa yenye upana mita mbili
-Tsh.32,000 kwa yenye upana mita tatu.
:DOUBLE
-Tsh.32,000 kwa yenye upana mita mbili
-Tsh.42,000 kwa yenye upana mita tatu.
Huduma ya Delivery ipo kwa wateja wa Dar na wale wa nje ya Dar natuma pia.
Ukihitaji nicheki WhatsApp