Bei zetu:
bomba m2 single – tsh 15,000/=
bomba m2 double – tsh 25,000/=
bomba m3 single – tsh 25,000/=
bomba m3 double – tsh 35,000/=
bomba m4 single – tsh 45,000/=
bomba m4 double – tsh 55,000/=
kwa nini uchague bomba zetu?
imara na hudumu kwa muda mrefu
muonekano wa kisasa na wa kuvutia
zinapatikana kwa rangi mbalimbali
rahisi kufunga na kutumia
zinaongeza uzuri na thamani ya nyumba yako
tunafanya delivery tanzania nzima kwa gharama nafuu.
malipo:
kwa wateja wa dar es salaam, malipo ni baada ya kupokea mzigo.
kwa wateja wa mikoani, malipo ni kabla ya kupokea mzigo.