1. Laptop haiwaki kabisa na haichajishi betri.
2. Laptop imezima baada ya kuingia kimiminika
3. Laptop/ Desktop inawaka kwenye keyboard lakini kwenye kioo hakuna picha.
4. Ku-program BIOS kwa zile laptop na Desktop ambazo hazileti picha kwenye kioo au hazitaki kuswitch.
5. Laptop na Desktop yenye Short.
6. Laptop inawaka lakin haichajishi betri.
7. Laptop inawaka lakin keyboard, mouse na speaker hazifanyi kazi, au USB port haifanyi kazi.
8. Desktop inawaka lakin inapiga kelele au beeps...
9. Laptop inapata sana joto wakati huo feni inazunguka vizur yaani ni nzima.
10. Laptop inawaka lakin kioo hakina mwanga wa kutosha au Kwa lugha nyepesi kioo kimekata taa
11. Laptop inawaka kioo kinaonyesha chenga chenga
12. Laptop haisomi wifi na Bluetooth
13. Laptop ukicheza video Ina leta chenga