HEAVY COAT – JOTO, STYLE NA UBORA!
Bei: TSh 60,000 tu
Unatafuta koti zito lenye muonekano wa kisasa na ubora wa hali ya juu?
Heavy Coat hii ni chaguo sahihi kwa wanaopenda muonekano wa classy na tofauti.
Nzito na imara
Stylish na ya kisasa
Inafaa kwa safari, outing na matumizi ya kila siku
Location: Kariakoo – Mtaa wa Congo & Agrey
WhatsApp / Simu:
+
+
+
Tunatuma mikoani kote Tanzania
Usichelewe! Mzigo unaisha haraka.
Weka oda sasa na onekana tofauti na wengine!