Kariakoo Uhuru and Msimbazi St. Uhuru Plaza Building.
Mainly through phone number or e-mail address
Closed now
• Mon - Sun, 08:00-21:00
Kozi ya ufundi simu inatolewa na wakufunzi wenye weredi wa hali ya juu ktk simu za aina zote na ktk kili idala inayohusika na simu kuanzia simu za batani hasi simu za smart.
umri ni kuanzia miaka 18 na kuendelea.
kiwango cha wlimi ni kianzia darasa la na saba na kuendelea
lugha itakayotumia ni kiswahili na kiingereza kwa ufanisi zaidi
mwisho wa kozi wanafunzi wataunganishwa ktk mtandao maalum wa mafundi simu wajasiriamali wa kariakoo mfumo huo hautawaacha kuangaika mtaani ovyo bila ya utaratibu maalum.watakuwa wanafanya kazi zao za ufundi ktk maeneo maalum kwa muda maalum.utaratibu huu utamnufaisha yeyote cha msingi amejiunga ktk mtandao huo.
kwa maelezo zaidi kuhusu kozi na mtandao wa mafundi wajasiriamali fika ofisini kwetu kariakoo makutano ya mtaa wa uhuru na msimbazi au piga simu na