Kariakoo, Lumumba, Dar es salaam. Tabata Relini, Dar es salaam.
Closed now
• Mon - Sun, 09:00-18:00
Hii ni birika kwa ajili ya kuchemshia maji uwapo ndani ya gari yako. Unaweza kuchemshia maji,chai au kahawa uwapo safarini.Inatumia umeme wa gari wa 12V, unaongwanishwa kwenye kiberiti cha gari yako.