Ndio naongea na wewe unayehitaji kujenga nyumba ya familia ndogo nzuri na kwa gharama nafuu, bei halisi ya ramani hii ni 250,000 lakini kwa kuwa tunapenda ujenge utaipata kwa 200,000 na itadumu mpaka October 30 2022 usisubiri sana kwani baada ya hapo itapanda; sifa zake,
-ina vyumba vitatu, uhakika kulala hata ukiwa na mgeni
-ina sebule na dining na jiko bila kusahau store na public toilet hivyo utapata huduma zote unahitaji katika nyumba.
p.s ukinunua ramani zetu utapata ushauri wakati wote wa ujenzi bure.
- Tunapenda kukujulisha kuwa tunasimamia ujenzi (consultation) kwa gharama nafuu sana hivyo huhutaji kuwepo site muda wote huku shughuli zako zinakuhitaji, hilo tutalifanya kwa niaba yako na kwa ubora unaoutegemea.