Habari mpendwa, hivi unajua ramani hii sasa utaipata kwa 150,000 tu?!!, tofauti na bei ya awali ya 250,000k??, wahi kabla hazijapanda tena hapo October 30.
3 bedrooms (master included)
living room
dining
kitchen+ store
12*10m
detailed drawings;
1. floor plan
2. foundation plan
3. roof plan
4. section
5. 4elevations
6. septics
p.s; uzuri wa hii ramani utakuwa sawa na nyumba yako ikiwa tu utajenga na consultant wazoefu , kampuni yetu ina uzoefu wa zaidi ya miaka mitano, ubora, uaminifu na muda sahihi ndio kipaumbele chetu na ndicho unachostahili.