Mkapa anakumbuka siku moja alipokuwa Rais, taifa likiwa katika hali ngumu ya kiuchumi. Kulikuwa na shinikizo kubwa kutoka kwa watu waliotaka maamuzi ya haraka baadhi kwa maslahi binafsi, si ya taifa. Aliitwa mara kadhaa ofisini na kuombwa “afumbe macho” ili mambo yapite kwa urahisi.
Badala ya kukubali, Mkapa alikaa kimya, akatafakari, kisha akasema kwa utulivu:
“Afadhali nichukiwe leo kwa kusema hapana, kuliko nihukumiwe kesho kwa kulisaliti taifa.”
Softcopy Tsh 5000
WhatsApp076XXXXXXX