Ukitaka kumshitua adui yako atoke uweponi kabisa basii fanya kujihalfcast carrot cream & indian serum. weeeh lazima stresss ziwe kibao
aiseee huuu mchanganyiko kaaa mbaliii kabisa incase kama hujazoea kusifiwa sifiwa hovyoooo. kaa mbalii kama hupendiii compliment...
hujazoea kuwa na rangiiiii nzur pita kushoto. lakinii sasa kama unataka rangiii nzuri isiyokuwa na mishipa ya kijaniii, wekundu, sugu au michiriz. nakuomba chonde chonde hiliii comboo liwikupite...
shida sio kuwa mweupe je weupe wako unavutiaa, njoo upate rangii moja tamu weupe ule wa njanooo ...
kama umechoka kutumia cream kaliii a.k.a mikorogooo ila unaogopa kuacha utafubaaa njooo hapa unapaka kitu huku kinatengeneza ngoziiii yakooo mashallah...
ila kiufupi kama una rangiiii nyingiiii mwilin basiii njooo hapa upendeze na hio combination...