ELLEN BEAUTY Gold Toning Milk Lotion .
Hii kitu asikuambie mtu , ni kitu ya Moto yaani walio wahi kutumia hii waijua .
Yaani ukiiipaka ngozi inawaka balaa , yaaani ukivua nguo ukaanza Kujiangalia yaani inakuwa Ngozi laini na Nyororo sana .
Yaani Inakung'arisha Sana na kukutakatisha inaondoa madoa madoa yote na Chinusi zote , ngozi ya kizeee .
Matokeo yake utayapata baaada ya Wiki 1 (Siku 7 ) tu , Yaaani wasio kupenda Wataisoma Namba .
Tunatoa Ushauri wa Ngozi , Kwetu Ubora ndio kipaumbele chetu !