SUDOCREM Antiseptic Healing Cream .
● Mafuta ambayo yanatibu matatizo Mengi ya Ngozi .
●Mafuta yanatibu Michubuko kwa Mtoto inayotokana na Uvaaji wa Nepi .
●Mafuta yanamkinga mtoto na Kuungua au Kuathirika na Mikojo pamoja na Kinyesi chake .
●Mafuta Ambayo yanamtibu mtoto ungojwa wa ACZEMA (ukurutu ) na Miwasho yote .
●Mafuta yanatibu Vidonda Vidogo vidogo vinavyotokea .
●Mafuta yanatibu ngozi iliyo Ungua na Jua .
●Mafuta yanalainisha Ngozi ya Mtoto .
●Mafuta haya ni Mazuri Sana kwa Mtoto wako .
●Mafuta haya yanatibu CHUNUSI kwa Watu wakubwa .