MWANI
SEAWEED
Mwani una madini na virutubisho vingi muhimu kwa mwili. Baadhi ya madini ni:
. Iodine — husaidia afya ya tezi
. Calcium — huimarisha mifupa na meno.
. Iron (Chuma) — kusaidia kuongeza damu mwilini.
. Magnesium — muhimu kwa misuli na mfumo wa neva.
. Potassium — kusaidia mapigo ya moyo na presha ya damu.
. Zinc — huimarisha kinga ya mwili.
. Phosphorus — kusaidia mifupa na uzalishaji wa nguvu mwilini.
. Sodium — kusaidia uwiano wa maji mwilini.
. Copper
Pia mwani una:
Vitamin A Vitamin C Vitamin E Vitamin K Vitamin B
FAIDA ZAKE
. Huondoa sumu mwilini [Detox]
. Huongeza ute ute kwenye joint za mifupa
. Kuboresha ngozi
. Kusaidia mmeng’enyo wa chakula
. Kusaidia afya ya tezi
. Kupunguza uzito
. Hutibu Bawasiri ya ndani
. Huondoa uvimbe ndani na nje ya mwili
. Hubalansi homoni
. Hutibu vidonda vya tumbo